-
Welcome
-
TANROADS TANGA YAFANYA KAZI YA KUZIBA MASHIMO BARABARANI YALIYOSABABISHWA NA MVUA
TANROADS TANGA YAFANYA KAZI YA KUZIBA MASHIMO BARABARANI YALIYOSABABISHWA NA MVUA
-
MAWASILIANO YA BARABARA YA HANDENI-KIBERASHI ENEO LA MABALANGA YAJEREA
MAWASILIANO YA BARABARA YA HANDENI-KIBERASHI ENEO LA MABALANGA YAJEREA
-
MAWASILIANO YA BARABARA YA HANDENI-KIBERASHI ENEO LA MABALANGA YAJEREA
MAWASILIANO YA BARABARA YA HANDENI-KIBERASHI ENEO LA MABALANGA YAJEREA
-
Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Barabara ya lami Tanga hadi Pangani wafikia asilimia 74
Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Barabara ya lami Tanga hadi Pangani wafikia asilimia 74
-
Barabara za mkoa wa Tanga kuunganisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
Barabara za mkoa wa Tanga kuunganisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
-
UTEKELEZAJI WA AWALI WA UJENZI WA BARABARA KUPITIA UTARATIBU WA EPC+ FINANCING MKOANI TANGA
Ujenzi wa mradi wa barabara ya Handeni - Kiberashi - Kijingu - Kibaya - Njoro - Olboroti - Mrijo Chini - Dalai - Bicha - Chambolo - Chemba - Kwa Mtoro - Singida yenye urefu wa Kilometa 389 unaotarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kiwango cha lami umetajwa kuwa na manufaa makubwa kwa wakazi wa mkoa wa Tanga, Manyara, Dodoma, Singida na maeneo ya Jirani ikiwemo kutoa ajira zaidi ya 1000 kwa wazawa, kuondoa adha ya usafiri na usafirishaji na hivyo kuchochea shughuli kiuchumi na maendeleo.
-
UJENZI WA BARABARA MUHIMU AFRIKA MASHARIKI KUANZA
UJENZI wa awamu ya tatu ya kipande cha barabara kuunganisha nchi ya Tanzania na Kenya umezinduliwa.
-
RELI YA KASKAZINI KUTOKA TANGA HADI ARUSHA KUANZA KUTUMIKA MWEZI APRILI MWAKANI
Serikali imesema imeanza kufufua reli ya Kaskazini ya kutoka Tanga hadi Arusha ambayo ilikufa miaka 14 iliyopita ili kuwezesha wafanyabiashara na wananchi kusafirisha mizigo yao kwa kutumia reli hiyo badala ya barabara hali itakayopelekea kupunguza uharibifu wa miundombinu ya barabara nchini.
Amesema hayo Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, wakati alipokagua ukarabati wa reli hiyo kuanzia eneo la Korogwe hadi Mombo ambalo limekamilika kwa KM 83 na kuwahikikishia watanzania kuwa uendelezaji wa reli hiyo hadi Arusha itakamilika mapema mwezi Aprili mwakani na hivyo kuruhusu huduma za usafirishaji ziendelee hasa za mazao na bidhaa.
"Niwahakikishie wananchi kuwa hii kazi tuliyoianza haiwezi kusimama kwani Serikali imejipanga na itaendelea kuhakikisha wananchi wanapata huduma nzuri za usafirishaji", amesema Waziri Prof. Mbarawa.