-
Welcome
-
KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA KASI UJENZI DARAJA LA PANGANI
KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA KASI UJENZI DARAJA LA PANGANI
-
UPANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE TANGA UENDANE NA UKUAJI WA FURSA ZA UWEKEZAJI - MHE.KAKOSO
UPANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE TANGA UENDANE NA UKUAJI WA FURSA ZA UWEKEZAJI - MHE.KAKOSO
-
RAIS SAMIA: BARABARA YA HANDENI - KIBERASHI -SINGIDA IJENGWE KWA UBIA
RAIS SAMIA: BARABARA YA HANDENI - KIBERASHI -SINGIDA IJENGWE KWA UBIA
-
RAIS SAMIA: SERIKALI INAENDELEA NA UJENZI BARABARA YA AMANI - MUHEZA
RAIS SAMIA: SERIKALI INAENDELEA NA UJENZI BARABARA YA AMANI - MUHEZA
-
RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI BARABARA YA BAGAMOYO - PANGANI - TANGA NA DARAJA LA MTO PANGANI (M 525)
RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI BARABARA YA BAGAMOYO - PANGANI - TANGA NA DARAJA LA MTO PANGANI (M 525)
-
RAIS DKT. SAMIA: BARABARA YA BAGAMOYO - PANGANI - TANGA NA DARAJA LA PANGANI KUUFUNGUA MKOA WA TANGA KIUCHUMI
RAIS DKT. SAMIA: BARABARA YA BAGAMOYO - PANGANI - TANGA NA DARAJA LA PANGANI KUUFUNGUA MKOA WA TANGA KIUCHUMI
-
TRILION 2.7 ZALETA MAGEUZI MAKUBWA YA MIUNDOMBINU YA BARABARA TANZANIA
TRILION 2.7 ZALETA MAGEUZI MAKUBWA YA MIUNDOMBINU YA BARABARA TANZANIA Tanga 26 Feb, 2025 Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, ameelezea mafanikio makubwa ya serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa miundombinu, akisema kuwa kilometa 1,366 za barabara zenye thamani ya shilingi trilioni 2.7 zimekamilika nchini, huku madaraja makubwa yakijengwa na kukamilika kwa kasi ya hali ya juu. Akizungumza leo Februari 26, 2025, katika mkutano wa hadhara wilayani Pangani mkoani Tanga, ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Waziri Ulega amesema kuwa serikali imefanya kazi kubwa kuhakikisha maendeleo yanafika kwa wananchi wote. "Ulipoingia madarakani, ulikuta barabara na madaraja yakiendelea kujengwa. Kwa kauli yako ya Kazi Iendelee, madaraja manane yenye thamani ya shilingi bilioni 381 umeyakamilisha, yakiwemo Tanzanite, Kitengule, na Msingi pale Singida. Haya yote ni mapinduzi makubwa kwa Watanzania,” alisema Ulega. Katika hatua nyingine, Waziri huyo ameeleza kuwa miradi mikubwa ya barabara inaendelea kwa kasi, ikiwemo ujenzi wa kilometa 2,031 za barabara zenye thamani kubwa kwa taifa. "Barabara ya Bagamoyo (Makurunge) - Mkange - Tungamaa - Pangani - Tanga inayoendelea kujengwa ni ushahidi wa dhamira yako thabiti Mheshimiwa Rais. Barabara hii itaunganisha mikoa na kufungua fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Bagamoyo, Chalinze, Pangani na Tanga,” alieleza. Waziri Ulega pia amezungumzia ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525, ambalo litakuwa na taa 240 za barabarani, huku mji wa Pangani ukipata taa 200 zaidi, kuhakikisha usalama wa wananchi na kuboresha mandhari ya eneo hilo. "Kama haitoshi, umeweka msisitizo kwamba kila barabara inayojengwa iwe na taa za barabarani. Wizara ya Ujenzi imechukua agizo lako kwa uzito mkubwa, na tunahakikisha kila mradi unakamilika kwa viwango vya juu,” alisema. Akitilia mkazo kasi ya ujenzi wa miradi hiyo, Waziri Ulega amesema kuwa wakandarasi wanahimizwa kufanya kazi bila kusita. "Wakandarasi hawatudai sisi, bali sisi tunawadai kazi. Hapa hakuna kucheka, hakuna relax mpaka kazi ikamilike. Tutasimamia kila kitu usiku na mchana kwa maendeleo ya Watanzania," alisisitiza Ulega.
-
RAIS SAMIA ASIKIA KILIO CHA WANANCHI BARABARA YA SONI- BUMBULI-KOROGWE
RAIS SAMIA ASIKIA KILIO CHA WANANCHI BARABARA YA SONI- BUMBULI-KOROGWE
-
WAZIRI ULEGA KUWAPIMA MAMENEJA KWA UWEZO WA KUTATUA CHANGAMOTO WAKATI WA DHARURA
WAZIRI ULEGA KUWAPIMA MAMENEJA KWA UWEZO WA KUTATUA CHANGAMOTO WAKATI WA DHARURA
-
MBUNGE UMMY MWALIMU AMSHUKURU RAIS DKT SAMIA KWA KUTOA TENA KIASI CHA BILIONI 4.7 UJENZI BARABARA YA TANGA-PANGANI
MBUNGE UMMY MWALIMU AMSHUKURU RAIS DKT SAMIA KWA KUTOA TENA KIASI CHA BILIONI 4.7 UJENZI BARABARA YA TANGA-PANGANI
-
WAZIRI ULEGA HAJARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA MKANDARASI BARABARA YA TUNGAMAA - MKANGE
WAZIRI ULEGA HAJARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA MKANDARASI BARABARA YA TUNGAMAA - MKANGE
-
BARABARA YA TANGA – PANGANI - SAADANI – BAGAMOYO HADI DAR ES SALAAM KUFUNGUA UCHUMI – MHA. KASEKENYA
BARABARA YA TANGA – PANGANI - SAADANI – BAGAMOYO HADI DAR ES SALAAM KUFUNGUA UCHUMI – MHA. KASEKENYA
-
TAKRIBANI BILIONI 300 ZIMETENGWA KWA AJILI YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA KATIKA MKOA WA TANGA
TAKRIBANI BILIONI 300 ZIMETENGWA KWA AJILI YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA KATIKA MKOA WA TANGA
-
UJENZI WA BARABARA YA AFRIKA MASHARIKI KUTOKA LUNGALUNGA (KENYA) HADI MAKURUNGE – BAGAMOYO KUFUNGUA FURSA ZA KIUCHUMI
UJENZI WA BARABARA YA AFRIKA MASHARIKI KUTOKA LUNGALUNGA (KENYA) HADI MAKURUNGE – BAGAMOYO KUFUNGUA FURSA ZA KIUCHUMI
-
TANROADS TANGA YAFANYA KAZI YA KUZIBA MASHIMO BARABARANI YALIYOSABABISHWA NA MVUA
TANROADS TANGA YAFANYA KAZI YA KUZIBA MASHIMO BARABARANI YALIYOSABABISHWA NA MVUA
-
MAWASILIANO YA BARABARA YA HANDENI-KIBERASHI ENEO LA MABALANGA YAJEREA
MAWASILIANO YA BARABARA YA HANDENI-KIBERASHI ENEO LA MABALANGA YAJEREA
-
Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Barabara ya lami Tanga hadi Pangani wafikia asilimia 74
Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Barabara ya lami Tanga hadi Pangani wafikia asilimia 74
-
Barabara za mkoa wa Tanga kuunganisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
Barabara za mkoa wa Tanga kuunganisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
-
UTEKELEZAJI WA AWALI WA UJENZI WA BARABARA KUPITIA UTARATIBU WA EPC+ FINANCING MKOANI TANGA
Ujenzi wa mradi wa barabara ya Handeni - Kiberashi - Kijingu - Kibaya - Njoro - Olboroti - Mrijo Chini - Dalai - Bicha - Chambolo - Chemba - Kwa Mtoro - Singida yenye urefu wa Kilometa 389 unaotarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kiwango cha lami umetajwa kuwa na manufaa makubwa kwa wakazi wa mkoa wa Tanga, Manyara, Dodoma, Singida na maeneo ya Jirani ikiwemo kutoa ajira zaidi ya 1000 kwa wazawa, kuondoa adha ya usafiri na usafirishaji na hivyo kuchochea shughuli kiuchumi na maendeleo.
-
UJENZI WA BARABARA MUHIMU AFRIKA MASHARIKI KUANZA
UJENZI wa awamu ya tatu ya kipande cha barabara kuunganisha nchi ya Tanzania na Kenya umezinduliwa.