About Us

Strategies

Uboreshaji wa Mtandao wa Barabara kuu na Barabara za mikoa.

Mikakati

  • Uimarishaji mtandao wa barabara kuu na barabara za mikoa;
  • Uimarishaji wa utafiti na maendeleo wa Wakala;
  • Uimarishaji usimamizi wa masuala ya kimazingira, kijamii, kiafya, VVU/UKIMWI na usalama barabarani;
  • Uimarishaji udhibiti wa uzito wa mizigo kwenye barabara;
  • Uimarishaji usimamizi wa mtandao wa barabara;
  • Uboreshaji ubora wa kazi za barabara.

Uboreshaji wa usimamizi wa Rasilimali watu.

Mikakati

  • Uanzishaji mpango wa kuendeleza Rasilimali watu;
  • Uandaaji mahitaji ya ajira;
  • Uandaaji na Utekelezaji mpango wa mafunzo na maendeleo kwa watumishi;
  • Utekelezaji wa mfumo wa usimamizi wa utendaji na tathmini

Uimarishaji uwezo wa taasisi katika usimamizi wa mifumo.

Mikakati

  • Uimarishaji utawala bora, Usimamizi wa tahadhari na udhibiti wa ndani;
  • Uboreshaji usimamizi wa kumbukumbu;
  • Kuhakikisha uwiano kati ya gharama na thamani (thamani ya fedha);
  • Uboreshaji mazingira ya kazi;
  • Uboreshaji usimamizi wa TEHAMA;
  • Uboreshaji mahusiano ya jamii na huduma kwa wateja;
  • Uboreshaji huduma za ufuatiliaji na utathimini;
  • Ufanyaji tathimini ya taratibu za kiutendaji na utoaji mifumo itakayoboresha taratibu za utendaji.

Uboreshaji usimamizi wa fedha.

Mikakati

  • Uongezaji usimamizi wa rasilimali fedha;
  • Uboreshaji tija na ufanisi katika utoaji taarifa za fedha;
  • Uboreshaji usimamizi wa mali zisizohamishika.