About Us

Objectives

Kulingana na maswala muhimu yaliyaoainishwa ,wakala imeazimia malengo sita (6) ya kutekelezwa

  • Uboreshaji wa Mtandao wa Barabara kuu na Barabara za  mikoa.
  • Uboreshaji wa  Usimamizi wa Rasilimaliwatu.
  • Uimarishaji Uwezo wa taasisi katika mifumo ya usimamizi.
  • Uboreshaji Usimamizi wa Fedha.
  • Upunguzaji wa Maambukizi ya VVU/Ukimwi na Uboreshaji huduma za msaada.
  • Uimarishaji na uendelezwaji wa mkakati wa kitaifa wa kupambana na rushwa.