• Welcome

  • BARABARA YA SIMIYU - MBULU HADI ARUSHA KUJENGWA KWA LAMI

    Serikali imeanza usanifu kwa ajili ya ujenzi  wa barabara ya lami itayounganisha Mikoa ya Simiyu, Singida, Manyara na Arusha ili kupunguza umbali wa safari uliopo sasa.

  • PROF. MBARAWA AWAONYA TBA.

    Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa, ameuagiza Wakala wa Majengo (TBA), kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa miradi yote waliyopewa na Serikali kwa wakati.