-
Welcome
-
MSCL YATAKIWA KUDHIBITI MAPATO KIELEKTRONIKI
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, ameitaka kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) kuhakikisha inafunga kamera katika maeneo mbalimbali ya ukaguzi ili kudhibiti vitendo vya hujuma katika mifumo ya kampuni hiyo hususani kwenye Mapato.
-
TAA YAPEWA WIKI 2 KUKUSANYA MADENI YOTE
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ametoa wiki mbili kwa Mamlaka ya Viwanja Ndege Nchini (TAA), kukusanya fedha za madeni ambayo inadai kutoka kwa watoa huduma mbalimbali katika viwanja vyote vya ndege ili ziweze kutumika kuendeleza miundombinu.