• Welcome

  • UJENZI WA BARABARA YA NJIA NNE MBEYA WAANZA

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa ametaka usimamizi madhubuti wa Ujenzi wa Barabara ya Igawa - Songwe – Tunduma, Sehemu ya
    3, Ujenzi wa Njia Nne kutoka Nsalaga (Uyole) mpaka Ifisi (Kiwanja cha Ndege cha Songwe) yenye urefu wa kilometa 29.

  • KM 32 WILAYANI KYELA KUJENGWA KWA LAMI

    Serikali imesema itaendelea kutekeleza Sera yake ya kuunganisha mkoa kwa mkoa na wilaya kwa wilaya kwa barabara za lami ili kurahisisha usafiri na usafirishaji wa abiria, mazao na malighafi mbalimbali ili kukuza uchumi kwa haraka.