-
Welcome
-
SIKU 100 ZA RAIS SAMIA, TAA ZA BARABARANI ZAIMARISHA USALAMA NA UCHUMI MBEYA
SIKU 100 ZA RAIS SAMIA, TAA ZA BARABARANI ZAIMARISHA USALAMA NA UCHUMI MBEYA
-
TANROADS YATOA ELIMU YA UELEWA WA PAMOJA KWA WANANCHI KUHUSU MRADI WA UJENZI WA BARABARA YA KIBANJA–MBAMBO, MBEYA
TANROADS YATOA ELIMU YA UELEWA WA PAMOJA KWA WANANCHI KUHUSU MRADI WA UJENZI WA BARABARA YA KIBANJA–MBAMBO, MBEYA
-
TANROADS YAHAKIKI UTHAMINI MRADI WA BARABARA YA KATUMBA–LUPASO, MBEYA
TANROADS YAHAKIKI UTHAMINI MRADI WA BARABARA YA KATUMBA–LUPASO, MBEYA
-
KAMATI ZA KUSIKILIZA MALALAMIKO YA FIDIA KATIKA MRADI WA BARABARA YA MCHEPUKO UYOLE–SONGWE ZA ANZA KAZI RASMI JIJINI MBEYA
KAMATI ZA KUSIKILIZA MALALAMIKO YA FIDIA KATIKA MRADI WA BARABARA YA MCHEPUKO UYOLE–SONGWE ZA ANZA KAZI RASMI JIJINI MBEYA
-
ELIMU YA UTHAMINI YATOLEWA SAMBAMBA NA UUNDAJI WA KAMATI ZA MALALAMIKO YA FIDIA SWAYA
ELIMU YA UTHAMINI YATOLEWA SAMBAMBA NA UUNDAJI WA KAMATI ZA MALALAMIKO YA FIDIA SWAYA
-
SERIKALI YASHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA FIDIA NA KULINDA MASLAHI YA WANANCHI KATA YA IJOMBE, MBEYA
SERIKALI YASHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA FIDIA NA KULINDA MASLAHI YA WANANCHI KATA YA IJOMBE, MBEYA
-
UJENZI WA BARABARA YA KATUMBA–TUKUYU KWA KIWANGO CHA LAMI WAENDELEA, BILIONI 86 KUTUMIKA
UJENZI WA BARABARA YA KATUMBA–TUKUYU KWA KIWANGO CHA LAMI WAENDELEA, BILIONI 86 KUTUMIKA
-
TANROADS YATEKELEZA UTARATIBU WA HAKI NA UWAZI KUPITIA KAMATI YA USULUHISHI WA MIGOGORO – MRADI WA UYOLE BYPASS
TANROADS YATEKELEZA UTARATIBU WA HAKI NA UWAZI KUPITIA KAMATI YA USULUHISHI WA MIGOGORO – MRADI WA UYOLE BYPASS
-
RTO NA TANROADS WAIMARISHA USHIRIKIANO WA USALAMA BARABARANI NA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU JIJINI MBEYA
RTO NA TANROADS WAIMARISHA USHIRIKIANO WA USALAMA BARABARANI NA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU JIJINI MBEYA
-
TANROADS YAANZA UPANUZI NA UJENZI WA BARABARA YA MCHEPUO MLIMA NYOKA KWENYE BARABARA YA TANZAM
TANROADS YAANZA UPANUZI NA UJENZI WA BARABARA YA MCHEPUO MLIMA NYOKA KWENYE BARABARA YA TANZAM
-
DARAJA LA SUNGWE LABORESHA USAFIRI KATIKA BARABARA YA TANZAM
DARAJA LA SUNGWE LABORESHA USAFIRI KATIKA BARABARA YA TANZAM
-
MADARAJA MAPYA YA LUPA NA BITIMANYANGA KUFUNGUA FURSA ZA MAENDELEO KATI YA MBEYA NA SINGIDA
MADARAJA MAPYA YA LUPA NA BITIMANYANGA KUFUNGUA FURSA ZA MAENDELEO KATI YA MBEYA NA SINGIDA
-
TANROADS YAKAGUA MIRADI YA DHARURA YA CERC MKOANI MBEYA
TANROADS YAKAGUA MIRADI YA DHARURA YA CERC MKOANI MBEYA
-
KASEKENYA AIPA TANROADS SIKU10 KUJA NA MPANGO KAZI UJENZI WA BARABARA NA MADARAJA ILEJE
KASEKENYA AIPA TANROADS SIKU10 KUJA NA MPANGO KAZI UJENZI WA BARABARA NA MADARAJA ILEJE
-
TANROADS NA TECU MSIMAMIENI MKANDARASI - MHANDISI KASEKENYA
TANROADS NA TECU MSIMAMIENI MKANDARASI - MHANDISI KASEKENYA
-
WAZIRI MKUU AIAGIZA WIZARA YA UJENZI KUHARAKISHA USANIFU BARABARA MKOANI MBEYA
WAZIRI MKUU AIAGIZA WIZARA YA UJENZI KUHARAKISHA USANIFU BARABARA MKOANI MBEYA
-
TANROADS YAENDELEA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA BILIONI 383 MKOANI MBEYA
TANROADS YAENDELEA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA BILIONI 383 MKOANI MBEYA
-
ULEGA ATOA SIKU 30 KWA MKANDARASI BARABARA YA NSALAGA - IFISI KUWEKWA LAMI
ULEGA ATOA SIKU 30 KWA MKANDARASI BARABARA YA NSALAGA - IFISI KUWEKWA LAMI Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa siku 30 na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya CHICO anayetekeleza ujenzi wa upanuzi wa barabara ya Nsalaga - Ifisi (km 29) kwa njia nne, jijini Mbeya kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi huo ili uweze kukamilika na kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo. Aidha, Waziri Ulega amemuagiza Mkandarasi huyo kufanya kazi usiku na mchana, kuongeza vifaa pamoja wafanyakazi ili kufanikisha mradi huo ukamilike haraka iwezekanavyo. Ulega ametoa maelekezo hayo jijini Mbeya wakati alipokuwa akikagua maendeleo ya mradi huo na kutoridhishwa na hatua za utekelezaji wake ambao hadi sasa umefikia asilimia 25. Ulega ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tayari imeshatoa malipo ya Shilingi Bilioni 35 kwa Mkandarasi huyo na matarajio yake ni kuona kupitia fedha hizo angalau kilometa kadhaa za lami zimekamilishwa kujengwa katika barabara hiyo. “Serikali imeshatoa Bilioni 35 kwa ajili ya ujenzi wa barabara hii kutoka Nsalaga hadi Ifisi, na fedha hizi Mkandarasi hajazifanyia kazi ipasavyo, Sasa basi Nimemuagiza Mkandarasi afanye kazi usiku na mchana na kuona mabadiliko ya haraka katika mradi huu”, amesisitiza Ulega. Pia, ametoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Mbeya kumsimamia Mkandarasi kwa ukaribu ili hadi kufikia mwanzoni mwa Mwezi Juni mwaka huu Mkandarasi awe amekamilisha kilometa 10 za lami katika barabara hiyo na kuahidi kurudi tena kwa ajili ya kukagua maendeleo hayo. Ulega amemuelekeza Meneja huyo wa TANROADS kuhakikisha ujenzi wa barabara hiyo unaenda sambamba na ufungaji wa taa za barabarani ili kuupendezesha mji wa Mbeya na kuimarisha masuala ya ulinzi na usalama wa wananchi wanaotumia barabara hiyo katika shughuli zao za kiuchumi za kila siku. Vilevile, Ulega amepokea Ombi la Mbunge wa Mbeya Mjini na Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson la ujenzi wa kilometa tano za lami zinazoingia katika mitaa ya iiji la Mbeya na kuahidi kulifanyia kazi. Kadhalika, Ulega amemuagiza Meneja wa TANROADS mkoa wa Mbeya kumsimamia Mkandarasi katika kuhakikisha kazi ndogondogo zinazofanywa na Mkandarasi zinatolewa kwa vijana wa Mkoa wa Mbeya ili kutoa fursa za ajira na vijana hao waweze kunufaika na matunda ya mradi. kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameeleza kuwa wananchi wa Mbeya wamekuwa wakisubiri kwa hamu upanuzi wa barabara hiyo kukamilika ili kutatua changamoto za msongamano wa magari jijini humo. Dkt. Tulia ameiomba Wizara ya Ujenzi kufanyia kazi mapendekezo yaliyoombwa katika barabara hiyo ya kuongezwa kwa barabara kilometa 3.5 kuanzia Ifisi hadi Songwe Airport na kilometa 5 kuanzia Nsalaga kuelekea Mlima Nyoka katika Bajeti mpya ya mwaka 2025/26 ili wananchi wa Mbeya kuendelea kunufaika na ujenzi wa mtandao wa barabara jijini humo. Naye, Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mbeya, Eng. Matari Masige ameeleza kuwa Mkandarasi anaendelea na ujenzi wa matabaka ya udongo G3, G7 na G15, ujenzi wa makalvati madogo na makubwa pamoja na ujenzi wa daraja la Nzovwe katika barabara hiyo.
-
BASHUNGWA AIAGIZA TANROADS KUFUNGA MIZANI MITATU YA KUPIMA UZITO WA MAGARI TUNDUMA
BASHUNGWA AIAGIZA TANROADS KUFUNGA MIZANI MITATU YA KUPIMA UZITO WA MAGARI TUNDUMA
-
KASEKENYA ATOA MIEZI MIWILI UJENZI OSBP KASUMULU UKAMILIKE
KASEKENYA ATOA MIEZI MIWILI UJENZI OSBP KASUMULU UKAMILIKE
-
Makamu wa Rais akagua barabara mchepuko ya Inyala
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango amekagua barabara ya mchepuo wa Inyala yenye kilometa 2.8 na Upanuzi wa Barabara ya TANZAM sehemu ya Inyala - Shamwengo yenye kilometa 3 jijini Mbeya.
-
UJENZI WA BARABARA YA NJIA NNE MBEYA WAANZA
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa ametaka usimamizi madhubuti wa Ujenzi wa Barabara ya Igawa - Songwe – Tunduma, Sehemu ya
3, Ujenzi wa Njia Nne kutoka Nsalaga (Uyole) mpaka Ifisi (Kiwanja cha Ndege cha Songwe) yenye urefu wa kilometa 29. -
KM 32 WILAYANI KYELA KUJENGWA KWA LAMI
Serikali imesema itaendelea kutekeleza Sera yake ya kuunganisha mkoa kwa mkoa na wilaya kwa wilaya kwa barabara za lami ili kurahisisha usafiri na usafirishaji wa abiria, mazao na malighafi mbalimbali ili kukuza uchumi kwa haraka.



















