-
Welcome
-
NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AHIMIZA WAKANDARASI KUUNGANA
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias Kwandikwa amezungumzia umuhimu wa wakandarasi wazawa kuungana ili waweze kupata miradi mingi ya ujenzi wa barabara inayoendelea nchini.
-
NW KWANDIKWA AWATAKA TANROADS ARUSHA KUSIMAMIA MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias Kwandikwa amempa miezi tisa Mkandarasi Hanil-Jiangsu Joint Venture limited anaejenga barabara ya Mchepuo ya Arusha (Arusha Bypass) kukamilisha ujenzi huo.
-
UKARABATI UWANJA WA NDEGE KIA KUKAMILIKA DESEMBA.
Serikali imesema ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba mwaka huu ambapo kwa sasa umefika zaidi ya asilimia Tisini.
-
SAMIA: MADEREVA WA BODABODA ACHENI HARAKA.
Madereva wa Pikipiki (bodaboda) nchini wametakiwa kutii sheria za Usalama Barabarani bila shuruti kwani ajali nyingi zinazotokea barabarani zimekuwa zikisababishwa na uzembe unaofanywa na madereva hao.