-
Welcome
-
TANROADS KILIMANJARO YACHUKUA HATUA ZA KUZUIA MADHARA ZAIDI KATIKA DARAJA LA RAU
TANROADS KILIMANJARO YACHUKUA HATUA ZA KUZUIA MADHARA ZAIDI KATIKA DARAJA LA RAU
-
TANROADS KILIMANJARO YAREJESHA MAWASILIANO BARABARA YA MOSHI - ARUSHA BAADA MAJI YA MAFURIKO YA MVUA KUJAA JUU YA DARAJA LA MTO SANYA
TANROADS KILIMANJARO YAREJESHA MAWASILIANO BARABARA YA MOSHI - ARUSHA BAADA MAJI YA MAFURIKO YA MVUA KUJAA JUU YA DARAJA LA MTO SANYA
-
Serikali ya Awamu ya Sita yafanikisha utekelezaji wa miradi mbalimbali mkoani Kilimanjaro
Serikali ya Awamu ya Sita yafanikisha utekelezaji wa miradi mbalimbali mkoani Kilimanjaro
-
NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AHIMIZA WAKANDARASI KUUNGANA
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias Kwandikwa amezungumzia umuhimu wa wakandarasi wazawa kuungana ili waweze kupata miradi mingi ya ujenzi wa barabara inayoendelea nchini.
-
NW KWANDIKWA AWATAKA TANROADS ARUSHA KUSIMAMIA MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias Kwandikwa amempa miezi tisa Mkandarasi Hanil-Jiangsu Joint Venture limited anaejenga barabara ya Mchepuo ya Arusha (Arusha Bypass) kukamilisha ujenzi huo.
-
UKARABATI UWANJA WA NDEGE KIA KUKAMILIKA DESEMBA.
Serikali imesema ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba mwaka huu ambapo kwa sasa umefika zaidi ya asilimia Tisini.
-
SAMIA: MADEREVA WA BODABODA ACHENI HARAKA.
Madereva wa Pikipiki (bodaboda) nchini wametakiwa kutii sheria za Usalama Barabarani bila shuruti kwani ajali nyingi zinazotokea barabarani zimekuwa zikisababishwa na uzembe unaofanywa na madereva hao.