-
Welcome
-
MIRADI YA CSR IJENGWE KWA UBORA- MHA. KASEKENYA
MIRADI YA CSR IJENGWE KWA UBORA- MHA. KASEKENYA
-
WAZIRI BASHUNGWA ATOA TAMKO MPASUKO WA BARABARA BUSUNZU - KIGOMA, SIO UPIGAJI
WAZIRI BASHUNGWA ATOA TAMKO MPASUKO WA BARABARA BUSUNZU - KIGOMA, SIO UPIGAJI
-
DKT MPANGO ARIDHISHWA NA UBORESHAJI WA UWANJA WA NDEGE WA KIGOMA UNAOFANYWA NA TANROADS
DKT MPANGO ARIDHISHWA NA UBORESHAJI WA UWANJA WA NDEGE WA KIGOMA UNAOFANYWA NA TANROADS
-
DKT. MPANGO AAGIZA KUKAMILIKA UJENZI WA BARABARA YA MALAGARASI - UVINZA IFIKAPO MACHI 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amemuagiza Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa kuhakikisha anasimamia ujenzi wa barabara ya Malagarasi - Ilunde - Uvinza (km 51.1) kwa kiwango cha lami ukamilike ifikapo mwezi Machi, 2025.
-
MKOA WA KIGOMA UTAKUWA MWANZO WA RELI KATIKA SEKTA YA MIUNDOMBINU: BASHUNGWA
MKOA WA KIGOMA UTAKUWA MWANZO WA RELI KATIKA SEKTA YA MIUNDOMBINU: BASHUNGWA
-
KASEKENYA AAGIZA KUWEKWA ALAMA ZA TAHADHARI MLIMA BUSUNZU BAADA YA BARABARA MITA 100 KUHARIBIKA
KASEKENYA AAGIZA KUWEKWA ALAMA ZA TAHADHARI MLIMA BUSUNZU BAADA YA BARABARA MITA 100 KUHARIBIKA
-
KASEKENYA AAGIZA BARABARA YA MALAGARASI - UVINZA KUKAMILIKA MACHI 2025
KASEKENYA AAGIZA BARABARA YA MALAGARASI - UVINZA KUKAMILIKA MACHI 2025
-
"MENEJA TANROADS KIGOMA ATOA UFAFANUZI KUHARIBIKA KWA BARABARA KIPANDE CHA MITA 50 ENEO LA BUSUNZU"
"MENEJA TANROADS KIGOMA ATOA UFAFANUZI KUHARIBIKA KWA BARABARA KIPANDE CHA MITA 50 ENEO LA BUSUNZU"
-
KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA KULETA FURSA ZA UWEKEZAJI
Baada ya kukamilika kwa zoezi la Utiaji Saini Mkataba wa Ujenzi wa Jengo la Abiria na Mnara wa Kuongozea Ndege katika Kiwanja cha Ndege cha Kigoma, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa alipata nafasi ya kuzungumzia uboreshaji wa kiwanja cha ndege cha Kigoma na kueleza kuwa huo ni muendelezo wa mkakati wa Serikali wa kuufungua ukanda wa magharibi mwa Tanzania kwa njia ya anga.
-
RAIS SAMIA AIFUNGUA BARABARA YA NYAKANAZI- KABINGO YENYE UREFU WA (km 50)
Wananchi wampongeza kwa kuufungua zaidi mkoa wa Kigoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan Oktoba 16, 2022 akiwa Wilayani Kakonko, Mkoani Kigoma amefungua rasmi barabara ya Nyakanazi- Kabingo( km.50) ikiwa imejengwa kwa takriban shilingi bilioni 43 na ujenzi wake kusimamiwa na TANROADS. Akizungumza katika ufunguzi wa barabara hiyo , Rais Samia alisema Serikali imeamua kuifungua barabara hiyo, pamoja na kuweka mawe ya msingi, ikiwa ni juhudi za Serikali za kuleta maendeleo kwa wananchi. " Tuko katika. ziara Mkoani Kigoma, tumeanza na wilaya ya Kakonko, Mradi wa maji Kakonko,, Hii ni ishara kubwa Serikali imeamua kuleta maendeleo" Alisema Mhe. Rais. Aliongeza " Ufunguzi wa barabara ya Nyakanazi- Kabingo ni moja ya ahadi za Serikali kurahisisha shughuli za kibiashara kwa wananchi. Pia uwepo wa miradi mbalimbali itasaidia kukuza maendeleo kwa wananchi na wananchi waendelee kuchapa kazi kwa bidii". Kwa upande wake, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Makame Mbarawa alisema ujenzi wa barabara hiyo ni kichocheo kikubwa cha uchumi, na kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa aliyofanya hadi kukamilika kwa mradi huo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi wa Kakonko wamepongeza juhudi za Rais Samia na Serikali anayoiongoza kwa kuufungua zaidi mkoa wa Kigoma hususan katika sekta ya ujenzi wa miundombinu ya barabara. Barabara ya Nyakanazi- Kabingo inaunganisha Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, na Mwanza na pia kuunganisha nchi jirani za Burundi kupitia mpaka wa Manyovu. Ujenzi wa barabara hiyo ni mkakati wa Serikali kuhakikisha barabara zote zinaunganisha mikoa na nchi jirani, pamoja na zile za ndani zinajengwa kwa kiwango cha lami.