-
Welcome
-
BARABARA YA LUSAHUNGA HADI RUSUMO MKOANI KAGERA KUFUNGUA ZAIDI FURSA ZA KIUCHUMI
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amewataka wananchi wanaoishi kuzunguka mradi wa Barabara ya Lusahunga – Rusumo Mkoani Kagera kutojihusisha na uhalifu wa vifaa ambavyo vitatumika katika ujenzi huo.