-
Welcome
-
MKUU WA MKOA WA IRINGA AWAFUNDA MAKANDARASI WANAWAKE
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Amina Masenza, amewataka makandarasi wanawake wote nchini kufanya kazi kwa kujiamini na kutooneana wivu katika maeneo yao ya kazi.