-
Welcome
-
MUST-WAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE MSALATO
MUST-WAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE MSALATO
-
SERIKALI IMEANZA UBORESHAJI BARABARA YA KIRANJERANJE-NANJIRINJI-RUANGWA
SERIKALI IMEANZA UBORESHAJI BARABARA YA KIRANJERANJE-NANJIRINJI-RUANGWA
-
RAIS SAMIA KUZINDUA DARAJA LA JP MAGUFULI - KIGONGO BUSISI MWEZI MEI 2025
RAIS SAMIA KUZINDUA DARAJA LA JP MAGUFULI - KIGONGO BUSISI MWEZI MEI 2025
-
KUFUATIA AGIZO LA WAZIRI ULEGA, KAMPUNI ZA UJENZI ZATII MAAGIZO, ZAAHIDI KUKAMILISHA MIRADI KWA WAKATI
KUFUATIA AGIZO LA WAZIRI ULEGA, KAMPUNI ZA UJENZI ZATII MAAGIZO, ZAAHIDI KUKAMILISHA MIRADI KWA WAKATI
-
UJENZI WA BARABARA YA KINTIKU - BAHI OVERPASS WAKAMILIKA, SASA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI
UJENZI WA BARABARA YA KINTIKU - BAHI OVERPASS WAKAMILIKA, SASA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI
-
WIZARA YA UJENZI YAWASILISHA KWA KAMATI TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25
WIZARA YA UJENZI YAWASILISHA KWA KAMATI TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25
-
WAZIRI ULEGA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WA MIZANI KUPISHA UCHUNGUZI
WAZIRI ULEGA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WA MIZANI KUPISHA UCHUNGUZI
-
PIC YATAKA WAKANDARASI KUMALIZA KWA WAKATI UJENZI KIWANJA CHA NDEGE MSALATO
PIC YATAKA WAKANDARASI KUMALIZA KWA WAKATI UJENZI KIWANJA CHA NDEGE MSALATO
-
WAHANDISI WANAWAKE TANROADS DODOMA WASIMAMIA VYEMA MIRADI YA KIMKAKATI
WAHANDISI WANAWAKE TANROADS DODOMA WASIMAMIA VYEMA MIRADI YA KIMKAKATI
-
BARABARA NJIA NNE NA SITA KUJENGWA JIJINI DODOMA
BARABARA NJIA NNE NA SITA KUJENGWA JIJINI DODOMA
-
TANROADS YAPOKEA TUZO YA KIMATAIFA KWA MCHANGO WAKE WA KUBORESHA USALAMA WA BARABARA (SAFER ROAD)
TANROADS YAPOKEA TUZO YA KIMATAIFA KWA MCHANGO WAKE WA KUBORESHA USALAMA WA BARABARA (SAFER ROAD)
-
MKANDARASI BARABARA YA OMUGAKORONGO - MURONGO KUPATIKANA FEBRUARI, 2025
MKANDARASI BARABARA YA OMUGAKORONGO - MURONGO KUPATIKANA FEBRUARI, 2025
-
DKT. SAMIA AMETOA BILIONI 254 KWA MIEZI MIWILI KUTEKELEZA MIRADI YA BARABARA - WAZIRI ULEGA
DKT. SAMIA AMETOA BILIONI 254 KWA MIEZI MIWILI KUTEKELEZA MIRADI YA BARABARA - WAZIRI ULEGA
-
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA MWENENDO WA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA MWENENDO WA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO
-
CAG KICHERE AIPA HEKO TANROADS UJENZI UWANJA WA NDEGE MSALATO
CAG KICHERE AIPA HEKO TANROADS UJENZI UWANJA WA NDEGE MSALATO
-
BARABARA YA MASASI - MTWARA KUKARABATIWA UPYA
BARABARA YA MASASI - MTWARA KUKARABATIWA UPYA
-
SERIKALI KUTEKELEZA KWA AWAMU UJENZI BARABARA YA BUKOMBE – KATORO
SERIKALI KUTEKELEZA KWA AWAMU UJENZI BARABARA YA BUKOMBE – KATORO
-
MRADI WA UWANJA WA NDEGE WA MSALATO KUKAMILIKA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA
MRADI WA UWANJA WA NDEGE WA MSALATO KUKAMILIKA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA
-
UPANUZI BARABARA YA MTANANA-KIBAIGWA KM 6 WAFIKIA ASILIMIA 48
UPANUZI BARABARA YA MTANANA-KIBAIGWA KM 6 WAFIKIA ASILIMIA 48
-
UJENZI WA MAEGESHO YA MAGARI NA TAA ZA BARABARANI WANUKIA DAKAWA NA KIBAIGWA
UJENZI WA MAEGESHO YA MAGARI NA TAA ZA BARABARANI WANUKIA DAKAWA NA KIBAIGWA
-
MKAKATI WA KUPUNGUZA MSONGAMANO DAR, ARUSHA WAJA
MKAKATI WA KUPUNGUZA MSONGAMANO DAR, ARUSHA WAJA
-
WAZIRI ULEGA AONGEA NA MENEJIMENTI NA MAMENEJA WA TANROADS WA MIKOA YOTE
WAZIRI ULEGA AONGEA NA MENEJIMENTI NA MAMENEJA WA TANROADS WA MIKOA YOTE
-
SERIKALI YASAINI MIKATABA 93 UJENZI WA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA MVUA.
SERIKALI YASAINI MIKATABA 93 UJENZI WA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA MVUA.
-
BASHUNGWA AWABANA WAKANDARASI WANAOJENGA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA, ATAKA KAZI IKAMILIKE KWA WAKATI
BASHUNGWA AWABANA WAKANDARASI WANAOJENGA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA, ATAKA KAZI IKAMILIKE KWA WAKATI
-
MKATABA UJENZI DARAJA LA JANGWANI - DAR KUSAINIWA MWEZI SEPTEMBA, 2024
MKATABA UJENZI DARAJA LA JANGWANI - DAR KUSAINIWA MWEZI SEPTEMBA, 2024
-
KAMATI YA MAWASILIANO, ARDHI NA NISHATI YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR, YASIFU UWEKEZAJI WA UJENZI WA BARABARA NA VIWANJA VYA NDEGE NCHINI
KAMATI YA MAWASILIANO, ARDHI NA NISHATI YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR, YASIFU UWEKEZAJI WA UJENZI WA BARABARA NA VIWANJA VYA NDEGE NCHINI
-
BILIONI 2.55 ZATENGWA KWA AJILI YA MICHORO YA USALAMA BARABARANI
BILIONI 2.55 ZATENGWA KWA AJILI YA MICHORO YA USALAMA BARABARANI
-
TANROADS YATOA ANGALIZO KWA WANAOFANYA MAZOEZI KWENYE MADARAJA YA JUU
TANROADS YATOA ANGALIZO KWA WANAOFANYA MAZOEZI KWENYE MADARAJA YA JUU
-
MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA YAENDELEA KUBORESHWA KUPUNGUZA AJALI
MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA YAENDELEA KUBORESHWA KUPUNGUZA AJALI
-
SERIKALI KUENDELEA NA UJENZI WA BARABARA YA KWIMBA – MAGU KM 71
SERIKALI KUENDELEA NA UJENZI WA BARABARA YA KWIMBA – MAGU KM 71
-
SERIKALI KUJENGA BARABARA YA MASASI - LIWALE KM 175 KWA AWAMU
SERIKALI KUJENGA BARABARA YA MASASI - LIWALE KM 175 KWA AWAMU
-
SERIKALI KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KATIKA MAJIJI MATANO, MIZANI 78 YAWEKWA BARABARANI
SERIKALI KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KATIKA MAJIJI MATANO, MIZANI 78 YAWEKWA BARABARANI
-
TANROADS ENDELEENI KUSIMAMIA BARABARA DKT MPANGO
TANROADS ENDELEENI KUSIMAMIA BARABARA - DKT MPANGO
-
BILIONI 840 KUTUMIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA EL-NINO
BILIONI 840 KUTUMIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA EL-NINO
-
NAIBU WAZIRI WA UJENZI AIPONGEZA TANROADS ALIPOTEMBELEA BANDA LAO KATIKA MAONESHO YA NANENANE
NAIBU WAZIRI WA UJENZI AIPONGEZA TANROADS ALIPOTEMBELEA BANDA LAO KATIKA MAONESHO YA NANENANE
-
WATUMISHI WA TANROADS WASHIRIKI KUSAFISHA HOSPITAL YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA
WATUMISHI WA TANROADS WASHIRIKI KUSAFISHA HOSPITAL YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA
-
WANANCHI WAFURAHISHWA NA ELIMU WANAYOIPATA KATIKA BANDA LA TANROADS KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA NANENANE
WANANCHI WAFURAHISHWA NA ELIMU WANAYOIPATA KATIKA BANDA LA TANROADS KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA NANENANE
-
MAKANDARASI WAZAWA KUPEWA MIRADI HADI YENYE THAMANI YA BILIONI 50 - BASHUNGWA
MAKANDARASI WAZAWA KUPEWA MIRADI HADI YENYE THAMANI YA BILIONI 50 - BASHUNGWA
-
MAANDALIZI YA UJENZI WA BARABARA YA HOLILI-TAREKEA YAKAMILIKA
MAANDALIZI YA UJENZI WA BARABARA YA HOLILI-TAREKEA YAKAMILIKA
-
BILIONI 136.2 ZIMETUMIKA UREJESHAJI WA MIUNDOMBINU BARABARA NA MADARAJA
BILIONI 136.2 ZIMETUMIKA UREJESHAJI WA MIUNDOMBINU BARABARA NA MADARAJA
-
BILIONI 12 KUTUMIKA KUKIJANISHA JIJI LA DODOMA
BILIONI 12 KUTUMIKA KUKIJANISHA JIJI LA DODOMA
-
SERIKALI KUJENGA KWA KIWANGO CHA LAMI BARABARA ZINAZOUNGANISHA RELI YA SGR
SERIKALI KUJENGA KWA KIWANGO CHA LAMI BARABARA ZINAZOUNGANISHA RELI YA SGR
-
BARABARA YA USHIROMBO - KATORO KUANZA KUWEKWA LAMI: BASHUNGWA
BARABARA YA USHIROMBO - KATORO KUANZA KUWEKWA LAMI: BASHUNGWA
-
MPANGOKAZI WA TANROADS, ZANROADS KUANZA KUTUMIKA MWAKA 2024/25
Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa ZANROADS, Mha. Cosmas Masolwa amesema kutokana na mashirikiano haya yataendelea kuleta na kuimarisha ushirikiano baina ya taasisi hizi mbili.
“Ushirikiano huu naamini utadumu la pande zote mbili kila mmoja atanufaika kutokana na jambo jipya kutoka kwa mwenzake, ukiangalia wenzetu wapo mbele mfano sisi hatuna mzani wa magari huku kwetu Zanzibar na sasa mahoteli makubwa makubwa yanajengwa na magari mengi yanayoleta malighafi ya ujenzi yanakuja na mawe, mchanga hivyo ni rahisi kuharibu barabara zetu, hivyo tunaamini tutajifunza kutoka kwa wenzetu,” amesema Mha. Masolwa.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya ZANROADS, Msanifu Majengo Yasser de Costa amepongeza mashirikiano haya yaliyochagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi na anaamini yatafanikiwa kunilingana na utekelezaji wa vipengele vilivyopo kwenye kila mwaka wa utekelezaji. -
TANROADS KUSHIRIKIANA NA VYUO VIKUU VYA DODOMA KATIKA UPANDAJI WA MITI
TANROADS KUSHIRIKIANA NA VYUO VIKUU VYA DODOMA KATIKA UPANDAJI WA MITI
-
TANROADS YAFANYA USAFI WA MAZINGIRA MACHINGA COMPLEX YA DODOMA
TANROADS YAFANYA USAFI WA MAZINGIRA MACHINGA COMPLEX YA DODOMA
-
TANROADS KUTEKELEZA MRADI WA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
TANROADS KUTEKELEZA MRADI WA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
-
FURSA NA MITAJI SEKTA YA UJENZI INAKUJA KIKUBWA TUWAJIBIKE - WAZIRI BASHUNGWA
FURSA NA MITAJI SEKTA YA UJENZI INAKUJA KIKUBWA TUWAJIBIKE - WAZIRI BASHUNGWA
-
DKT. BITEKO AIPONGEZA TANROADS KWA KAZI NZURI
DKT. BITEKO AIPONGEZA TANROADS KWA KAZI NZURI
-
“MRADI WA BRT MZURI KWA MAZINGIRA” – DKT. JAFO
“MRADI WA BRT MZURI KWA MAZINGIRA” – DKT. JAFO
-
MHA. BESTA AMSHUKURU RAIS DKT. SAMIA KWA KUIWEZESHA TANROADS KWENDA NA TEKNOLOJIA KATIKA UJENZI WA BARABARA
MHA. BESTA AMSHUKURU RAIS DKT. SAMIA KWA KUIWEZESHA TANROADS KWENDA NA TEKNOLOJIA KATIKA UJENZI WA BARABARA
-
TANROADS YAENDELEA NA KAZI YA UPANUZI WA BARABARA YA UBUNGO - KIMARA KUPUNGUZA MSONGAMANO
TANROADS YAENDELEA NA KAZI YA UPANUZI WA BARABARA YA UBUNGO - KIMARA KUPUNGUZA MSONGAMANO
-
BASHUNGWA AWAPONGEZA MAMENEJA TANROADS, UREJESHWA WA MAWASILIANO YA BARABARA ILIYOHARIBIWA
BASHUNGWA AWAPONGEZA MAMENEJA TANROADS, UREJESHWA WA MAWASILIANO YA BARABARA ILIYOHARIBIWA
-
SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAKAMILISHA KILOMETA 1,198 ZA UJENZI WA BARABARA ZA KIWANGO CHA LAMI
SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAKAMILISHA KILOMETA 1,198 ZA UJENZI WA BARABARA ZA KIWANGO CHA LAMI
-
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI WAZIDI KUSHIKA KASI KATIKA UJENZI WA DARAJA LA J.P. MAGUFULI WAKARIBIA 90%
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI WAZIDI KUSHIKA KASI KATIKA UJENZI WA DARAJA LA J.P. MAGUFULI WAKARIBIA 90%
-
SERIKALI IMETOA SHILINGI BILIONI 66 FEDHA ZA DHARURA KUREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA ZILIZOHARIBIWA NA MVUA
SERIKALI IMETOA SHILINGI BILIONI 66 FEDHA ZA DHARURA KUREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA ZILIZOHARIBIWA NA MVUA
-
WABUNGE WATAKA BAJETI YA UJENZI IPITE//WALILIA IONGEZWE FEDHA
WABUNGE WATAKA BAJETI YA UJENZI IPITE//WALILIA IONGEZWE FEDHA
-
SEKTA YA UJENZI YACHANGIA ASILIMIA 14 PATO LA TAIFA
SEKTA YA UJENZI YACHANGIA ASILIMIA 14 PATO LA TAIFA
-
SERIKALI KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI
SERIKALI KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI
-
TANROADS KUANZA UJENZI DARAJA LA JANGWANI
TANROADS KUANZA UJENZI DARAJA LA JANGWANI
-
BASHUNGWA AWEKA WAZI MIRADI ITAKAYOONDOA MSONGAMANO WA MAGARI KATIKA MAJIJI
BASHUNGWA AWEKA WAZI MIRADI ITAKAYOONDOA MSONGAMANO WA MAGARI KATIKA MAJIJI
-
WIZARA YA UJENZI YAOMBA BAJETI YA TRILIONI 1.77
WIZARA YA UJENZI YAOMBA BAJETI YA TRILIONI 1.77
-
WATAALAM WALIOSTAAFU KUENDELEA KUTUMIKA KATIKA UJENZI NA MATENGENEZO YA BARABARA- BASHUNGWA
WATAALAM WALIOSTAAFU KUENDELEA KUTUMIKA KATIKA UJENZI NA MATENGENEZO YA BARABARA- BASHUNGWA
-
SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA KALI VISHOKA WANAOSHIKILIA MAENEO YENYE MALIGHAFI ZA UJENZI
SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA KALI VISHOKA WANAOSHIKILIA MAENEO YENYE MALIGHAFI ZA UJENZI
-
NAIBU KATIBU MKUU UJENZI AMPA TANO RAIS SAMIA UKAMILISHAJI MIRADI YA MAENDELEO
NAIBU KATIBU MKUU UJENZI AMPA TANO RAIS SAMIA UKAMILISHAJI MIRADI YA MAENDELEO
-
WIZARA YA UJENZI IMEJIPANGA KURUDISHA MIUNDOMBINU ILIYOHARIBIKA: BASHUNGWA
WIZARA YA UJENZI IMEJIPANGA KURUDISHA MIUNDOMBINU ILIYOHARIBIKA: BASHUNGWA
-
MITAMBO YA KUPIMA UBORA WA BARABARA KULETA MAGEUZI: DKT. TULIA
MITAMBO YA KUPIMA UBORA WA BARABARA KULETA MAGEUZI: DKT. TULIA
-
BASHUNGWA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA SEKTA YA UJENZI – BUNGENI
BASHUNGWA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA SEKTA YA UJENZI – BUNGENI
-
KASEKENYA ASISITIZA UADILIFU KWA MAFUNDI SANIFU
KASEKENYA ASISITIZA UADILIFU KWA MAFUNDI SANIFU
-
SERIKALI KUENDELEA KUIJENGA BARABARA YA RUJEWA-MADIBIRA-MAFINGA KM 151.1 KWA AWAMU
SERIKALI KUENDELEA KUIJENGA BARABARA YA RUJEWA-MADIBIRA-MAFINGA KM 151.1 KWA AWAMU
-
SERIKALI YATANGAZA FURSA KWA VIJANA KATIKA SEKTA YA UJENZI
SERIKALI YATANGAZA FURSA KWA VIJANA KATIKA SEKTA YA UJENZI
-
MAANDALIZI UJENZI WA BARABARA YA MWEMBE – MBAGA HADI MAMBA KM 90.19 KWA LAMI YAANZA
MAANDALIZI UJENZI WA BARABARA YA MWEMBE – MBAGA HADI MAMBA KM 90.19 KWA LAMI YAANZA
-
BARABARA YA MBALIZI-MKWAJUNI KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI
BARABARA YA MBALIZI-MKWAJUNI KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI
-
TANROADS YAANZA UTEKELEZAJI MAAGIZO YA WAZIRI BASHUNGWA//YATANGAZA ZABUNI UJENZI MADARAJA YA CHAKWALE NA NGUYAMI
TANROADS YAANZA UTEKELEZAJI MAAGIZO YA WAZIRI BASHUNGWA//YATANGAZA ZABUNI UJENZI MADARAJA YA CHAKWALE NA NGUYAMI
-
TARIME MJINI KUWEKWA TAA ZA KUONGOZA MAGARI
TARIME MJINI KUWEKWA TAA ZA KUONGOZA MAGARI
-
NAIBU KATIBU MKUU UJENZI AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI DODOMA
NAIBU KATIBU MKUU UJENZI AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI DODOMA
-
WABUNGE WANOLEWA MKAKATI USHIRIKI WA WAZAWA MIRADI YA UJENZI
WABUNGE WANOLEWA MKAKATI USHIRIKI WA WAZAWA MIRADI YA UJENZI
-
MKAKATI WA KUONGEZA USHIRIKI WA WAZAWA MIRADI YA UJENZI WAIVA
MKAKATI WA KUONGEZA USHIRIKI WA WAZAWA MIRADI YA UJENZI WAIVA
-
MIRADI 6 YA KIMKAKATI KUFUNGUA JIJI LA DODOMA
MIRADI 6 YA KIMKAKATI KUFUNGUA JIJI LA DODOMA
-
UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MSALATO SEHEMU YA KWANZA KUKAMILIKA DISEMBA, 2024
UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA MSALATO SEHEMU YA KWANZA KUKAMILIKA DISEMBA, 2024
-
MKANDARASI BARABARA YA MZUNGUKO WA NJE DODOMA AHIMIZWA KUZINGATIA MKATABA
MKANDARASI BARABARA YA MZUNGUKO WA NJE DODOMA AHIMIZWA KUZINGATIA MKATABA
-
MIKAKATI YA RAIS SAMIA KUINUA MAKANDARASI WAZAWA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, anataka kuona ushiriki mkubwa zaidi wa Makandarasi wazawa katika kazi za utekelezaji wa ujenzi wa miradi nchini.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa leo tarehe 21 Novemba, 2023 katika Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Makandarasi wazawa na Washauri elekezi wa ndani jijijini Dodoma, kujadili nafasi yao katika utekelezaji wa miradi.
Bashungwa amesema Wizara ya Ujenzi, kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), inaendelea kutenga miradi mikubwa ya ujenzi wa barabara kwa ajili ya Makandarasi wa ndani kwa lengo la kuwasaidia Makandarasi hao kukua na kupata uzoefu.
"Katika mwaka wa fedha 2023/204, jumla ya miradi minne ya barabara yenye urefu wa kilometa 50 kila moja zimetengwa kwa ajili ya makandarasi wa ndani tu, kwa hiyo kilometa 200 zitajengwa na wazawa, hii ni fursa kubwa ya kuwasaidia makadarasi", amesema Bashungwa.
Aidha, Bashungwa amesisitiza kuwa katika mwaka wa fedha 2023/2024 Jumla ya kilometa 20 za barabara zimetengwa kwa ajili ya makandarasi wanawake, ambapo zitagawanywa katika vipande vya kilometa tano tano, na kazi hizo zitashindanishwa kwa makampuni ya wanawake peke yao, hii inafanya jumla ya km 220 kujengwa na makandarasi wazawa kwa mwaka 2023/24. -
WAZIRI BASHUNGWA AWAFUNDA MAMENEJA TANROADS, ASISITIZA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amewataka Mameneja wa Mikoa wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kuhakikisha wanaendelea na mapambanona dhidi ya rushwa katika maeneo yao ya kazi na nje ya kazi ili kujenga taswira nzuri kwa Wakala huo na Taifa kwa ujumla.
-
WAZIRI WA UJENZI MHE. BASHUNGWA AZINDUA BODI YA USHAURI YA TANROADS
Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa ameitaka Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuandaa mkakati utakaowawezesha na kuwasaidia Wakandarasi Wazawa kukua na kutekeleza miradi mikubwa kama ambayo inatekelezwa na Wakandarasi wa Nje ili fedha watakayolipwa ibaki hapa Nchini kukuza uchumi wa Nchi yetu.
-
TANROADS IMEJIPANGA VIZURI KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA EPC + FINANCING
Meneja wa Miradi ya Public Private Partinerships- PPP na Engineering, Procurement, Construction and Financing (EPC +F) Mhandisi Harold Kitainda amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imejipanga kikamilifu kusimamia ipasavyo utekelezaji wa miradi ya barabara za lami zenye jumla ya kilometa 2,035 zinazojengwa kwa wakati mmoja hapa Nchini kwa kutumia utaratibu mpya wa EPC + F ikiwemo mradi wa kilometa 384 kutoka Handeni mpaka Singida.
-
TANROADS YAWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU UBORA WA VIFAA KATIKA MIRADI
Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), umewatoa hofu Watanzania kuhusu ubora wa vifaa vinavyotumika katika utekelezaji wa miradi inayoendelea nchini ikisema ni imara na bora.
-
SERIKALI IMESAINI MIKATABA MIKUBWA 7 KWA UTARATIBU WA EPC+FINANCING
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia TANROADS imesaini mikataba mikubwa ya kujenga kwa kiwango cha lami Barabara 7 zenye jumla ya km 2,035 kwa kutumia Utaratibu wa Engineering, Procurement, Construction and Financing (EPC + F),
-
MPANGO NA BAJETI YA SERIKALI KATIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU NCHINI
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi Trilioni 3.554, katika mwaka wa fedha 2023/2024, kati ya fedha hizo, Shilingi Trilioni 1.468. ni kwa ajili ya Sekta ya Ujenzi na Shilingi Trilioni 2.086, ni kwa ajili ya Sekta ya Uchukuzi.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa ameomba fedha hizo mapema leo Tarehe 22 Mei -2022 wakati akisoma Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya wizara hiyo Bungeni Mjini Dodoma.
Kuhusu Miundombinu Waziri Prof. Mbarawa amesema serikali kupitia TANROADS inatarajia kuanza ujenzi wa miradi saba (7) ya barabara yenye jumla ya kilometa 2,035 kwa kutumia utaratibu wa Engineeering Procurement Construction and Finance ( EPC + F) na kuanza utekelezaji wa ujenzi wa barabara kutoka Kibaha – Chalinze – Morogoro Expressway yenye urefu wa kilometa 205 kwa kutumia utaratibu wa kushirikisha Sekta Binafsi (Public Private Partnership – PPP.
Amesema pia unaendelea na ujenzi wa miradi mikubwa ya barabara katika maeneo mbalimbali yenye jumla ya urefu wa kilometa 1,031.98 na Ujenzi wa Barabara iliyosaniwa Katika Mwaka wa Fedha 2022/23 yenye jumla ya urefu wa kilometa 393.6
Amesisitiza kuwa miradi yote ya barabara na madaraja ikamilika itakuwa na jumla ya km 3,934.7 za barabara zilizojengwa kwa lami ambazo zitaongeza urefu wa mtandao wa barabara za lami zilizopo sasa za km 11,587.82 na kufikia km 15,522.52 ambalo ni sawa na ongezeko la 34%.
Waziri Prof. Mbarawa ameongeza kuwa Serikali inaendelea na utekelezaji wa mradi ujenzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Msalato Dodoma pamoja na Kuendelea na kazi za ukarabati na upanuzi wa viwanja vingine vya ndege katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kiwanja cha Ndege cha Songwe, ukarabati na upanuzi wa Viwanja vya Ndege vya Sumbawanga, Shinyanga, Tabora na Kigoma. -
FIDIA YA WANANCHI WA DODOMA JIJI WANAOPISHA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE MSALATO NA BARABARA YA MZUNGUKO
Fidia ya wananchi wa maeneo wanaopisha ujenzi wa kiwanja cha kimataifa cha Ndege cha Msalato na Barabara ya mzunguko imekamilika na itaanza kutolewa ndani ya muda wa wiki mbili zijazo.
-
SHERIA MPYA KUDHIBITI UZITO KUANZA MWAKANI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mhandisi Joseph Nyamhanga, ameitaka kurugenzi ya Usalama na Mazingira katika wizara hiyo kutoa elimu kuhusu kuanza kutumika kwa sheria mpya ya udhibiti wa uzito wa magari ya jumuiya ya afrika ya Mashariki ya mwaka 2016.