-
Welcome
-
FIDIA YA WANANCHI WA DODOMA JIJI WANAOPISHA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE MSALATO NA BARABARA YA MZUNGUKO
Fidia ya wananchi wa maeneo wanaopisha ujenzi wa kiwanja cha kimataifa cha Ndege cha Msalato na Barabara ya mzunguko imekamilika na itaanza kutolewa ndani ya muda wa wiki mbili zijazo.
-
WAZIRI ISACK KAMWELWE AWASILI OFISINI JIJINI DODOMA LEO
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, amewasili katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara yake mjini Dodoma leo na kulakiwa na watumishi wa Sekta hizo.
-
SHERIA MPYA KUDHIBITI UZITO KUANZA MWAKANI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mhandisi Joseph Nyamhanga, ameitaka kurugenzi ya Usalama na Mazingira katika wizara hiyo kutoa elimu kuhusu kuanza kutumika kwa sheria mpya ya udhibiti wa uzito wa magari ya jumuiya ya afrika ya Mashariki ya mwaka 2016.
-
WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KUSHUGHULIKIWA
Serikali imesema haitamvumilia mwananchi yoyote atakaebainika
kununua vyuma vyenye alama za barabara kama chuma chakavu, ili iwe fundisho kwa wahujumu wa miundombinu ya barabara. -
SERA MPYA YA UJENZI KUKAMILIKA HIVI KARIBUNI
SERIKALI imesema mradi wa ujenzi wa barabara ya njia sita kutoka Ubungo hadi Kibaha Mkoani Pwani yenye urefu wa kilometa 16 unaotarajia kuanza mwishoni mwa mwezi Desemba mwaka huu utasaidia kukuza uchumi kwa kuongeza kasi ya usafirishaji wa bidhaa katika nchi jirani kupitia bandari ya Dar es Salaam.