News

KAZI ZA USIMAMIZI WA MAZINGIRA NA JAMII ZINAZOFANYWA NA TANROADS KUPITIA KURUGENZI YA MIPANGO YA MIUNDOMBINU: SEHEMU YA MAZINGIRA NA JAMII

 

KAZI ZA USIMAMIZI WA MAZINGIRA NA JAMII ZINAZOFANYWA NA TANROADS KUPITIA KURUGENZI YA MIPANGO YA MIUNDOMBINU:

SEHEMU YA MAZINGIRA NA JAMII

Dar es Salaam

20 Mei, 2024                              

Kuanzia mwaka 2006 Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kupitia Kurugenzi ya Mipango ya Miundombinu: Sehemu ya Mazingira na Jamii imefanikiwa kusimamia na kuratibu uandaaji na utekelezaji wa Tathmini za Athari ya Mazingira na Jamii na Mipango ya usimamizi wa Mazingira na Jamii (Environmental and Social Management Plans (ESMP) kwa miradi 150 ya Barabara, Madaraja na Viwanja vya Ndege. Mpaka sasa Wakala imefanikiwa kupata vyeti vya Tathmini ya Athari kwa Mazingira na Jamii kwa ajili ya utekelezaji wa miradi 82 ambapo ujenzi kwa baadhi ya miradi hiyo umekamilika; na mingine ipo kwenye hatua mbalimbali za utekelezaji.

 

Mpaka kipindi cha Mwaka wa Fedha 2022/2023, pamoja na mambo mengine, Sehemu ya Mazingira na Jamii imeweza kufanikisha masuala yafuatayo:

 

  1. Kuandaa Sera za Taasisi katika kusimamia utekelezaji wa masuala ya Mazingira na Jamii zifuatazo:
  2. Sera ya UKIMWI Mahali pa Kazi ya TANROADS (TANROADS HIV and AIDS at Work Place Policy, 2015);
  3. Sera ya Mazingira na Jamii ya TANROADS (TANROADS Environmental and Social Management Policy, 2018); na
  • Sera ya Jinsia ya TANROADS (TANROADS’ Gender Policy, 2023).

 

  1. Kuandaa Rasimu za Miongozo ya Taasisi katika kusimamia utekelezaji wa masuala ya Mazingira na Jamii kwenye miradi ya Barabara. Miongozo hiyo ambayo inategemea kukamilika katika Mwaka wa Fedha 2023/2024 ni pamoja na:
  2. Mwongozo wa Masuala ya Mazingira na Jamii ya TANROADS (TANROADS Environmental and Social Consideration Guidelines, 2023);
  3. Mwongozo wa Uhamishaji wa Makazi na Ulipaji wa Fidia ya TANROADS (TANROADS Compensation and Resettlement Guideline) wa mwaka 2023;
  • Mwongozo wa Ushirikishaji Wadau ya TANROADS (TANROADS Stakeholders Engagement and Participation Guidelines, 2023);
  1. Mwongozo wa Usuluhishi wa Malalamiko ya TANROADS (Grievance Redress Committees Guidelines).

 

  1. Uhamasishaji na Uundaji wa Kamati za Usuluhishi wa Malalamiko (Grievance Redress Committees) wakati wa utekelezaji wa miradi ya barabara, madaraja na viwanja vya ndege wakati wa ulipaji fidia na ujenzi wa barabara. Kamati hizi ni mahususi kwa ajili ya kutatua migogoro mbalimbali inayotokana na utekelezaji wa miradi kuanzia wakati wa ulipaji wa fidia kwa waathiriwa wa mradi; na kutatua migogoro mbalimbali inayojitokeza wakati wa ujenzi baina ya Makandarasi na Wafanyakazi wao; Makandarasi, Wafanyakazi na Jamii inayozunguka eneo la mradi.

Kamati za usuluhishi wa malalamiko zinatumia njia ya uwazi katika kutatua malalamiko yanayojitokeza. Kamati hizi zinaundwa kwa kufuata Mwongozo wa kushughulikia masuala ya Fidia na Uhamishaji wa Makazi ya Watu uliotolewa na Wizara ya Ujenzi mwaka 2009, pamoja na miongozo ya Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB). Mpaka sasa Kamati hizo zimeundwa katika miradi ifuatayo:

  1. Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Lake Manyara;
  2. Ujenzi wa Barabara ya Mabasi yaendayo kwa haraka Awamu ya 3;
  • Ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Tanga;
  1. Ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Iringa;
  2. Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko wa Jiji la Dodoma (Dodoma City Outer Ring Road) (km 112.3);
  3. Ujenzi wa Barabara ya Kabingo – Kasulu – Manyovu (km 260);
  • Ujenzi wa Barabara ya Mnivata – Newala – Masasi (km 160);
  • Ujenzi wa Barabara ya Iringa - Kilolo (km 33);
  1. Ujenzi wa Barabara ya Mkange - Tungamaa – Pangani (km 160) ;
  2. Ujenzi wa Barabara Arusha – Holili – Taveta and Arusha Bypass (km 40);
  3. Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato;
  • Ujenzi wa Barabara ya Dodoma (Mayamaya) – Babati (Bonga) (km 188);
  • Ujenzi wa Barabara ya Tabora – Koga – Mpanda (km 360);
  • Ujenzi wa Barabara ya Iringa – Dodoma (km 260);
  1. Ujenzi wa Barabara ya Mafinga – Igawa (km 130);
  • Ujenzi wa Ubungo – Interchange (Kijazi Flyover).

 

  1. Kuandaa Mipango na Miongozo mbalimbali ya utekelezaji na usimamizi wa masuala ya Mazingira na Jamii kwenye miradi inayofadhiliwa na Benki ya Dunia ikiwemo:

 

  1. Mwongozo wa Kusimamia Masuala ya Mazingira na Jamii (Environmental and Social Management Framework (ESMF);
  2. Mwongozo wa Kusimamia Ulipaji wa Fidia (Resettlement Policy Framework (RPF);
  • Mpango wa Ushirikishaji wa Wadau (Stakeholder Engagement Plan (SEP)
  1. Mpango wa Kuzingatia Makundi Maalum (Vulnerable Groups Policy Framework (VGPF);
  2. Mwongozo wa Kurekebisha Malalamiko (Grievance Redress Mechanism (GRM);
  3. Mpango wa Usimamizi wa Kelele katika uendeshaji Viwanja vya Ndege (Noise Management Plan (NMP);
  • Mpango wa Usimamizi wa Bioanuai (Biodiversity Management Plan (BMP)
  • Mpango wa Usimamizi wa Urithi wa Utamaduni (Cultural Heritage Management plan (CHMP);
  1. Mpango wa Urejeshaji wa Maisha (Livelihood Restoration Plan (LRP);
  2. Mpango wa Usimamizi wa Waajiriwa (Labour Management Plan (LMP)
  3. Mpango Kazi wa kudhibiti Unyanyasaji wa Kijinsia (Gender Based Violence - Action Plan (GBV-AP).

 

  1. Miongozo na mipango hii iliandaliwa ili kukidhi masharti ya upatikanaji wa mikopo ya maendeleo kutoka kwa wafadhili ikiwemo Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB). Uandaaji wa Miongozo na Mipango hiyo umefanikisha Serikali kupitia TANROADS kupata fedha za kutekeleza ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo miradi ya kimkakati kupitia Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika ikijumuisha miradi ifuatayo:

 

  1. Mradi wa Road to Inclusion Social Economic (RISE) unaohusisha miradi ya: Barabara ya Iringa – Kilolo (km 33.3) Mkoani Iringa; Barabara ya Mkata – Kwamsisi (km 30) Mkoani Tanga; Barabara ya Namichiga – Rwangwa (km 25) Mkoani Lindi; Barabara ya Geita – Nyikonga - Kashelo - Ilolangalu (km 25) na Ushirombo – Nanda (km 16) Mkoani Geita;
  2. Mradi wa Tanzania Transport Integration Project (TANTIP) unaohusisha miradi ya: Barabara ya Iringa – Msembe (km 104) Mkoani Iringa; Barabara ya Mtwara – Mingoyo – Masasi (km 200) Mkoani Mtwara; Barabara ya Lutukira - Songea (km 116) Mkoani Songea; Barabara ya Lusahunga - Rusumo (km 92) Mkoani Kagera; na

  Iringa Airport Mkoani Iringa; Lake Manyara Airport Mkoani Arusha; Tanga Airport Mkoani Tanga;

  • Dar es Salaam Urban Project (DUTP) unaohusisha miradi ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) kwa awamu 1, 3 na 4;
  1. Mradi wa Njia ya Mabasi yaendayo Haraka (BRT) Awamu ya 5;
  2. Mradi wa Dodoma Integrated Sustainable Transport (DIST) ambao unahusisha Barabara za Dodoma - Singida (km 50); Dodoma - Arusha (km 50); Dodoma – Morogoro (km 50); na Dodoma – Iringa (km 50);
  3. Ujenzi wa Barabara ya Kabingo – Kasulu – Manyovu (km 260);
  • Ujenzi wa Barabara ya Mnivata – Newala – Masasi (km 160);
  • Ujenzi wa kiwanja cha Ndege Tanga; na
  1. Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko wa Jiji la Dodoma (Dodoma City Outer Ring Road) (km 112.3);
  2. Ujenzi wa Barabara ya Mangaka – Mtambaswala – Tunduru.

 

  1. Utoaji wa Mafunzo kwa Watumishi wa TANROADS na Uhamasishaji na Uelimishaji wa Umma kuhusiana na utunzaji na usimamizi wa Mazingira katika miradi ya Barabara, Madaraja na Viwanja vya Ndege.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

ORODHA YA MIRADI 82 YA BARABARA, MADARAJA NA VIWANJA VYA NDEGE ILIYOPATA VYETI VYA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA JAMII (ENVIRONMENTAL CERTIFICATES) KWA AJILI YA UTEKELEZAJI KUANZIA MWAKA 2009 – 2024

 

S/N

NAME OF PROJECT

CERTIFICATE REGISTRATION NUMBER

DATE ISSUED

1

REHABILITATION AND UPGRADING OF TANGA AIRPORT

EC/EIA/2023/0058

11/11/2023

2

MTWARA-MBAMBA BAY ROAD

EC/EIS//035

16/03/2017

3

UPGRADING OF GEITA-USAGARA,SENGEREMA DISTRICT-MWANZA

EC/EIS/172

17/9/2009

4

MULTNATIONAL ARUSHA – NAMANGA – ATHI RIVER ROAD

EC/EIS/24

8/11/2006

5

REHJABILITATION OF KOROGWE-MKUMBARA-SAME (171KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/38

17/9/2009

6

JANGWANI BUS DEPOT

EC/EIS//416

30/6/2009

7

UPGRADING OF KIGOMA-KIDAHWE-UVINZA-ILUNDE AREA IN KIGOMA TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/141

5/8/2009

8

UPGRADING OF TANGA-HOROHORO ROAD (65KM)

EC/EIS/161

28/8/2009

9

NEW BAGAMOYO ROAD(17KM ) WIDENING PROJECT,DAR ES SALAAM REGION ,MOROCCO TO TEGETA

EC/EIS/210

15/1/2010

10

REHABILITATION AND UPGRADING OF  TABORA AIRPORT

EC/EIA/219

7/7/2017

11

REHABILITATION AND UPGRADING OF KIGOMA AIR PORT

EC/EIA/220

7/7/2017

12

UPGRADING OF TUNDUMA-SUMBAWANGA ROAD 224.5KM (TUNDUMA-LAELA SECTION (128KM) AND LAELA-SUMBAWANGA SECTION (96.5KM),TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/285

28/6/2010

13

IMPROVEMENT OF NYANGUGE-MUSOMA (184.5KM) AND USAGARA-KISESA ROAD (17.5KM) PROJECT,MWANZA AND MARA REFION

EC/EIS/312

14/10/2010

14

PROPOSED UPGRADING OF SUMBAWANGA-NAMANYERE-MPANDA (245KM) ROAD TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/248

6/8/2010

15

PROPOSED UPGRADING KALIUA-MALAGARASI-ILUNDE ROAD(156KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/313

3/9/2010

16

UPGRADING OF KAGOMA-LUSAHUNGA ROAD (154KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/346

27/1/2011

17

UPGRADING OF TABORA –URAMBO-KALIUA ROAD (126KM) TRO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/483

11/11/2011

18

UPGRADING OF SUMBAWANGA-MATAI-KASANGA ROAD(112KM) TO BITUMN STANDARD

EC/EIS/452

24/9/2011

19

UPGRADING OF KIDAHWE-KASULU-KIBONDO NYAKANAZI ROAD (310KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/529

17/2/2012

20

UPGRADING OF KYAKA TO BUGENE ROAD (58KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/712

17/12/2012

21

REHABILITATION OF MAFINGA TO INGAWA ROAD (142KM)

EC/EIS/728

13/11/2012

22

UPGRADING OF LOLIONDO-MTO WA MBU ROAD(213KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/711

12/10/2012

23

UPGRADING OFMAYAMAYA-BONGA ROAD(188.15KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/670

21/8/2012

24

UPGRADING OF MAFIA ACCESS ROAD TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/642

21/8/2012

25

UPGRADING OF MANGAKA –NANYUMBU-MTAMBASWALA ROAD(65.5KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/636

25/7/2012

26

CONSTRUCTION OF RUSUMO INTERNATIONAL BRIDGE AND ONE STOP BORDER POST FACILITATES (THE BORDER OF RWANDA  AND TANZANIA IN NGARA DISTRICT,KAGERA REGION)

EC/EIS/540

13/3/2012

27

CONTRUCTION OF WEIGHBRIDGE STATION

EC/EIS/565

23/4/2012

28

DEVELOPMENT OF ONE-STOP BORDER POST (BOARDER OF TANZANIA AND BURUNDI)

EC/EIS/746

17/12/2012

29

UPGRADING OF TABORA-NYAHUA-CHANYA ROAD TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/811

25/2/2013

30

WIDENING OF GEREZANI -BENDERA TATU TO KAMATA JUNCTION ROAD

EC/EIS/647

24/1/2013

31

CONTRUCTION OF MALAGARASI BRIDGE AND UPGRADING OF APPROACH ROAD (48KM)

EC/EIS/809

15/3/2013

32

IMPROVEMENT OF TAZARA INTERSECTION

EC/EIS/961

26/7/2013

33

UPGRADING OF MAKONGOROSI-RUNGWA-ITIGI-MKIWA ROAD (413KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/941

26/7/2013

34

REHABILITATION AND UPGRADING OF MWANZA AIRPORT

EC/EIA/986

9/07/2017

35

CONTRUCTION OF WEIGHBRIDGE AND OFFICES ALONG MAKUTANO-SIRARI ROAD

EC/EIS/1117

6/10/2013

36

CONTRUCTION OF TWO WEIGHBRIDGES AND OFFICES ALONG TANGA-HOROHORO ROAD

EC/EIS/1113

23/10/2013

37

REHABILIATION AND UPGRADING OF SUMBAWANGA AIRPORT

EC/EIS/1308

7//2017

38

IMPROVEMENT OF ARUSHA-HOLILI(140KM) ROAD IN ARUSHA AND KILIMANJARO REGIONS AND CONSTRUCTION OF 42.41KM BYPASS ROAD TO BITUMEN STANDARD IN ARUSHA MUNICIPALITY,IN ARUSHA REGION

EC/EIS/1434

30/9/2014

39

UPGRADING OF TABORA-KOGA-MPANDA IN TABORA AND KATAVI REGIONS TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/1878

12/6/2015

40

CONTRUCTION OF DUTHUMI BRIDGE AND ITS APPROACH ROADS

EC/EIS/1804

17/4/2015

41

REHABILITATION OF LUSAHUNGA-RUSUMO (92KM)AND NYAKASANZA KOBERO(59.149KM)

EC/EIA/2690

25/10/2016

42

REHABILITATION OF SAME-HIMO-MARANGU (99.73KM)

EC/EIA/2680

10/10/2016

43

REHABILITATION OF MOMBO-LUSHOTO (32KM)

EC/EIA/2681

10/10/2016

44

REHABILITATION OF MAKAMBAKO-SONGEA ROAD (295)

EC/EIA/2830

22/12/2016

45

REHABILITATION OF MTWARA-MINGOYO-MASASI ROAD (200KM)

EC/EIA/2833

22/12/2016

46

CONSTRUCTION OF TERIMNAL III AND ITS ASSOCIATED FAACILITIES AT JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT

EC/EIA/976

7/07/2017

47

UPGRADING OF IRINGA-DODOMA ROAD (260KM) PROJECT

EC/EIA/201

7/7/2017

48

REHABILIATION AND UPGRADING OF SHINYANGA AIRPORT

EC/EIS/1307

7/7/2017

49

REHABILITATION AND UPGRADING OF  MTWARA AIRPORT 

EC/EIA/2851

25/09/2017

50

BUS RAPID TRANSIT SYSTEM AND ASSOCIATED FACILITIES PHASE 2 (19.3 KM) AND PHASE 3 (3.6KM) PROJECTS

EC/EIA/2018/0183

30/5/2018

51

DEVELOPMENT OF NEW SELANDER BRIDGE (1.03KM) AND ITS CONNECTING ROADS

EC/EIA/2018/0058

13/7/2018

52

ESTABLISHMENT OF DODOMA SPORTS COMPLEX

EC/EIA/2018/0423

1/8/2018

53

UPGRADING OF TEGETA-BAGAMOYO –MAKOFIA ROAD (46.9KM)AND MBEGANIPORT ACCESS ROAD (4.6KM)

EC/EIS/2018/0419

29/8/2018

54

UPGRADING OF UBENA ZOMOZI-NGERENGERE (KIZUKA)SECTION (11.6KM)

EC/EIA/2018/0432

7/9/2018

55

UPGRADING OF IPOLE- RUNGWA ROAD (172KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIS/2018/05474

4/12/2018

56

ESTABLISHMENT OF ONE STOP INSPECTION STATION (OSIS) FACILITIES,MUHALALA VILLAGE.

EC/EIA/20189/0592

4/12/2018

57

UPGRADING OF BUGENE-KASULO ROAD(122KM) BITUMEN STANDARD

EC/EIS/2018/0573

28/12/2018

58

UPGRADING OF KAMANGA-KATUNGURU-SENGEREMA ROAD (36KM)TO DOUBLE SURFACE DRESSING

EC/EIS/2019/0197

21/3/2019

59

ESTABLISHMENT OF ONE STOP INSPECTION STATION ALONG THE DAR ES SALAAM  CORRIDOR, VIGWAZA VILLAGE

EC/EIA/2018/0209

21/3/2019

60

ESTABLISHMENT OF DODOMA CITY OUTER  RING ROAD(110.2KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2019/0731

31/12/2019

61

UPGRADING OF KASULU-MANYOVU ROAD AND ITS BYPASS ROADS (81.6KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2018/0127

11/2/2019

62

UPGRADING OF TANGA –PANGANI-SAADANI-MAKURUNGE(229KM) ROAD TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2019/0287

27/5/2019

63

UPGRADING OF SONI-BUMBULI  ROAD (21.7KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2019/0438

13/8/2019

64

UPGRADING OF NYAMWAGE-UTETE ROAD(33.7KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2019/0730

31/12/2019

65

UPGRADING OF MAKOFIA-MLANDIZI (35KM) TO FOUR LANES,DUAL CARRIAGE WAY, BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2020/0086

10/3/2020

66

ESTABLISHMENT OF ONE STOP  BORDER POST (OSBP)SONGWE/KASUMULU-TANZANIA/MALAWI BORDER CROSSING

EC/EIA/2020/0277

18/5/2020

67

UPGRADING OF OMUGAKORONGO-KIGARAMA-MURONGO ROAD (111KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2020/0563

13/10/2020

68

UPGRADING OF ARUSHA-KIBAYA-KONGWA ROAD(493KM)

EC/EIS/2021/0750

15/11/2021

69

UPGRADING OF IRINGA-MSEMBE ROAD (104KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2021/0346

17/5/2021

70

UPGRADE OF DOUBLE SURFACE DRESSING OF MONDULI-ENGARUKA(NGARASH-ENGUIKI SECTION 11KM)

EC/EIA/2021/0292

11/3/2021

71

DEVELOPMENT OF KIGONGO -  BUSISI BRIDGE (3,200M) AND ITS 1.54KM LANE APPROACH ROADS

EC/EIA/2021/0301

11/3/2021

72

UPGRADING OF KIBONDO-MABAMBA ROAD (45KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2021/0302

11/3/2021

73

UPGRADING OF MTWARA(MNIVATA)-NANYAMBA-TANDAHIMBA-NEWALA-MASASI ROAD (160KM) TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2021/0457

13/5/2021

74

UPGRADING OF NYAKAHURA-KUMUMBUGA-MURUSAGANBA-GAHUMO(34KM)KUMUMBUGA-RULENGE-MURUGARAMA(75KM)& RULENGE-KIBANGA NICKEL(32KM)TO BITUMEN STANDARD

EC/EIA/2022/022

20/01/2022

75

REHABILITATION OF IGAWA-UYOLE-SONGWE-TUNDUMA(218KM) AND CONSTRUCTION OF UYOLE-SONGWE BYPASS ROAD(48.9KM)

EC/EIA/2022/0050

28/02/2022

76

UPGRADING OF KYERWA – OMURUSHAKA (50 KM) ROAD

EC/EIA/2021/8213

15/12/2022

77

ESTABLISHMENT OF NEW WAMI BRIDGE (510 M) AND ASSOCIATED APPROACH ROADS (3.8 KM) ALONG CHALINZE - SEGERA ROAD

EC/EIA/2023/0003

02/03/2023

78

ESTABLISHMENT OF STONE QUARRY SITE,AGGREGATES PRODUCTION PLANT AND CONCRETE BATCHING PLANT AT MADOBOLE, NJOMBE REGION

EC/EIA/2002/0008

03/07/2023

79

UPGRADING OF MIANZINI – OLEMRINGARINGA JUU AND OLE MRINGARINGA SUMBASHI/ TIMBORO ROAD (18KM) TO BITMEN STANDARD IN ARUSHA

EC/EIA/2020/0583

26/08/2020

80

DEVELOPMENT ODF BRT STYSTEM PHASE -4

EC/EIA/2021/9377

19/8/2023

81

REHABILITATION AND UPGRADING OF MANYARA AIRPORT

EC/EIA/2023/0057

11/11/2023

82

UPGRADING OF MAJIMOTO – INYONGA ROAD 152 KM TO BITUMEN STANDARDS

EC/EIA/2023/0060

02/10/2023

 

 

Ndugu Mwananchi, ili kupata taarifa zaidi juu ya mafanikio haya unaweza kutembelea tovuti yetu ya TANROADS: www.tanroads.go.tz; Au Ofisi zetu za TANROADS za Mikoa; Au Makao Makuu ya  Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), Jengo la Wizara ya Mambo ya Nje, Ghorofa ya 3, S.L.P 11364,10 Shaaban Robert Road/Garden Avenue Junction, Dar es Salaam. Barua Pepe: tanroadshq@tanroads.go.tz