Ufunguzi wa Barabara ya Bagamoyo - Msata (64km)

DATE FROM Thursday 22 June, 2017.
DATE TO Thursday 22 June, 2017.
VENUE Daraja la Ruvu Chini, Wilaya ya Bagamoyo., Coast.
DESCRIPTION

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli atakuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za ufunguzi wa Barabara ya Bagamoyo - Msata.